![]() |
| Wajasiriamali wamejikuta katika matatizo ya kubeba mizigo ya madeni kiasi cha kushindwa kuendelea |
Nini maana ya mtaji?
Watu wengi wanaufahamu "Mtaji" kwa lugha rahisi kama "Kianzio" cha biashara. Ni kweli, kwa mfano mtaji wa mama Ntilie ni Maji, sufuria, jiko, mkaa, mwiko, sahani, pamoja na fedha ya kununulia chakula kama mchele, nyanya, maharage, chumvi n.k.
Sasa basi katika mtiririko wa mahitaji yaliyotajwa hapo, vyote vinahitaji pesa ili kuvipata.
Tatizo liko wapi?
Kupata mtaji kwa nyakati hizi imekuwa jambo linalosumbua watu wengi. Mabenki yanasita kukopesha wafanya biashara wadogo sana (Micro businesses) kutokana na sababu kadha wa kadha ambazo kwayo ukiangalia zina uzito. Kada hii ya wafanya biashara huwa hawaaminiki kwa wakopaji wakubwa kama mabenki na taasisi za fedha kutokana na sababu zifuatazo: Hawana ofisi za kudumu; Wanakosa dhamana n.k
Kupata fedha za kuanzisha biashara imekuwa ni kama ndoto!!
Suala la upatikanaji wa mtaji
umeelezwa na wajasiriamali wengi kuwa kikwazo kikubwa na kinachozuia
wajasiriamali wapya kungia kwenye sekta hii. Wanajiuliza: je, ni wapi watapata
fedha?
“Ukosefu wa fedha wa kuanzisha
biashara” umeelezwa kuwa dalili mbaya ya tatizo linalozuia maendeleo ya wajasiriamali. Unahitajika ufumbuzi wa haraka ili kumkomboa mfanyabiashara mdogo.
Wakati mwingine tatizo
la upatikanaji wa mitaji unasababishwa na mabenki kukosa Sera za ukopeshaji zitakazowanufaisha
wafanyabiashara wadogo kwa kuweka masharti magumu yasiyotekelezeka. Kwa mfano:
· Kiasi cha juu cha kukopesha huwa ni kidogo sana kuweza kukidhi mahitaji;
· Mikopo hutolewa mijini tu, na kuacha sehemu
kubwa ya wananchi wanaoishi vijijini kukosa fursa hii
· Maombi ya mkopo huambatana na taratibu ngumu
kama kuwa na Leseni za biashara, TIN namba kutoka TRA n.k (Mfano: Muuzaji wa genge hana elimu ya Kodi hivyo
haoni sababu ya kuwa na vitu hivyo).
Pia Ukosekanaji
wa Vitambulisho vya kitaifa (Inawia vigumu kwa Mabenki kumtafuta mkopaji).
Mabenki na Wakopeshaji wanasemaje?
Kwa upande wa Mabenki na wakopeshaji nao
wanajitetea kuwa sio rahisi kutoa mkopo kwa mjasiriamali mdogo kutokana na
sababu zifuatazo:-
· Hurka wa watanzania katika kukwepa kulipa madeni
· Wajasiriamali wengi kukosa ofisi za kudumu na
zinazotambulika kisheria
· Upungufu uliopo kwenye sheria ya nchi unaomlinda
zaidi mkopaji aliyeshindwa kulipa deni na “kutomjali’ mkopaji
· Wajasiriamali kukosa dhamana zenye kutambulika
(mfano; mali zisizohamishika kama Hati za nyumba zilizosajiliwa).
· Ukosefu wa elimu ya utunzaji wa mahesabu
· Wajasiriamali wanakosa miradi ya maendeleo
inayosababishwa na kokosa ujuzi wa kufanya michanganua ya biasharazao.

UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI
ReplyDelete(Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajili ni azina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)
MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.